Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِّسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ وَٱلتِّينِ وَٱلزَّيْتُونِ
Unukuzi: Wat teeni waz zaitoon
Naapa kwa tini na zaituni!
- 2
وَطُورِ سِينِينَ
Unukuzi: Wa toori sineen
Na kwa Mlima wa Sinai!
- 3
وَهَٰذَا ٱلْبَلَدِ ٱلْأَمِينِ
Unukuzi: Wa haazal balad-il ameen
Na kwa mji huu wenye amani!
- 4
لَقَدْ خَلَقْنَا ٱلْإِنسَٰنَ فِىٓ أَحْسَنِ تَقْوِيمٍۢ
Unukuzi: Laqad khalaqnal insaana fee ahsani taqweem
Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.
- 5
ثُمَّ رَدَدْنَٰهُ أَسْفَلَ سَٰفِلِينَ
Unukuzi: Thumma ra dad naahu asfala saafileen
Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!
- 6
إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّٰلِحَٰتِ فَلَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍۢ
Unukuzi: Ill-lal lazeena aamanoo wa 'amilus saalihaati; falahum ajrun ghairu mamnoon
Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.
- 7
فَمَا يُكَذِّبُكَ بَعْدُ بِٱلدِّينِ
Unukuzi: Fama yu kaz zibuka b'adu bid deen
Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
- 8
أَلَيْسَ ٱللَّهُ بِأَحْكَمِ ٱلْحَٰكِمِينَ
Unukuzi: Alai sal laahu bi-ahkamil haakimeen
Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.