Sura zote

Surah 94

The Relief

سُورَةُ الشَّرۡحِ

Ash-Sharh · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ أَلَمْ نَشْرَحْ لَكَ صَدْرَكَ

    Unukuzi: Alam nashrah laka sadrak

    Hatukukunjulia kifua chako?

  2. 2

    وَوَضَعْنَا عَنكَ وِزْرَكَ

    Unukuzi: Wa wa d'ana 'anka wizrak

    Na tukakuondolea mzigo wako,

  3. 3

    ٱلَّذِىٓ أَنقَضَ ظَهْرَكَ

    Unukuzi: Allazee anqada zahrak

    Ulio vunja mgongo wako?

  4. 4

    وَرَفَعْنَا لَكَ ذِكْرَكَ

    Unukuzi: Wa raf 'ana laka zikrak

    Na tukakunyanyulia utajo wako?

  5. 5

    فَإِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًا

    Unukuzi: Fa inna ma'al usri yusra

    Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi,

  6. 6

    إِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًۭا

    Unukuzi: Inna ma'al 'usri yusra

    Hakika pamoja na uzito upo wepesi.

  7. 7

    فَإِذَا فَرَغْتَ فَٱنصَبْ

    Unukuzi: Fa iza faragh ta fansab

    Na ukipata faragha, fanya juhudi.

  8. 8

    وَإِلَىٰ رَبِّكَ فَٱرْغَب

    Unukuzi: Wa ilaa rabbika far ghab

    Na Mola wako Mlezi ndio mshughulikie.

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.

The Relief — Islam Word