Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ لَآ أُقْسِمُ بِهَٰذَا ٱلْبَلَدِ
Unukuzi: Laaa uqsimu bihaazal balad
Naapa kwa Mji huu!
- 2
وَأَنتَ حِلٌّۢ بِهَٰذَا ٱلْبَلَدِ
Unukuzi: Wa anta hillum bihaazal balad
Nawe unaukaa Mji huu.
- 3
وَوَالِدٍۢ وَمَا وَلَدَ
Unukuzi: Wa waalidinw wa maa walad
Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.
- 4
لَقَدْ خَلَقْنَا ٱلْإِنسَٰنَ فِى كَبَدٍ
Unukuzi: Laqad khalaqnal insaana fee kabad
Hakika tumemuumba mtu katika taabu.
- 5
أَيَحْسَبُ أَن لَّن يَقْدِرَ عَلَيْهِ أَحَدٌۭ
Unukuzi: Ayahsabu al-lai yaqdira 'alaihi ahad
Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?
- 6
يَقُولُ أَهْلَكْتُ مَالًۭا لُّبَدًا
Unukuzi: Yaqoolu ahlaktu maalal lubadaa
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.
- 7
أَيَحْسَبُ أَن لَّمْ يَرَهُۥٓ أَحَدٌ
Unukuzi: Ayahsabu al lam yarahooo ahad
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
- 8
أَلَمْ نَجْعَل لَّهُۥ عَيْنَيْنِ
Unukuzi: Alam naj'al lahoo 'aynayn
Kwani hatukumpa macho mawili?
- 9
وَلِسَانًۭا وَشَفَتَيْنِ
Unukuzi: Wa lisaananw wa shafatayn
Na ulimi, na midomo miwili?
- 10
وَهَدَيْنَٰهُ ٱلنَّجْدَيْنِ
Unukuzi: Wa hadaynaahun najdayn
Na tukambainishia zote njia mbili?
- 11
فَلَا ٱقْتَحَمَ ٱلْعَقَبَةَ
Unukuzi: Falaq tahamal-'aqabah
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
- 12
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْعَقَبَةُ
Unukuzi: Wa maaa adraaka mal'aqabah
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
- 13
فَكُّ رَقَبَةٍ
Unukuzi: Fakku raqabah
Kumkomboa mtumwa;
- 14
أَوْ إِطْعَٰمٌۭ فِى يَوْمٍۢ ذِى مَسْغَبَةٍۢ
Unukuzi: Aw it'aamun fee yawmin zee masghabah
Au kumlisha siku ya njaa
- 15
يَتِيمًۭا ذَا مَقْرَبَةٍ
Unukuzi: Yateeman zaa maqrabah
Yatima aliye jamaa,
- 16
أَوْ مِسْكِينًۭا ذَا مَتْرَبَةٍۢ
Unukuzi: Aw miskeenan zaa matrabah
Au masikini aliye vumbini.
- 17
ثُمَّ كَانَ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلصَّبْرِ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلْمَرْحَمَةِ
Unukuzi: Summa kaana minal lazeena aamanoo wa tawaasaw bissabri wa tawaasaw bilmarhamah
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
- 18
أُو۟لَٰٓئِكَ أَصْحَٰبُ ٱلْمَيْمَنَةِ
Unukuzi: Ulaaa'ika As-haabul maimanah
Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
- 19
وَٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ بِـَٔايَٰتِنَا هُمْ أَصْحَٰبُ ٱلْمَشْـَٔمَةِ
Unukuzi: Wallazeena kafaroo bi aayaatinaa hum as-haabul Mash'amah
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
- 20
عَلَيْهِمْ نَارٌۭ مُّؤْصَدَةٌۢ
Unukuzi: Alaihim naarum mu'sadah
Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.