Sura zote

Surah 86

The Nightcommer

سُورَةُ الطَّارِقِ

At-Taariq · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ وَٱلسَّمَآءِ وَٱلطَّارِقِ

    Unukuzi: Wassamaaa'i wattaariq

    Naapa kwa mbingu na Kinacho kuja usiku!

  2. 2

    وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلطَّارِقُ

    Unukuzi: Wa maaa adraaka mattaariq

    Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku?

  3. 3

    ٱلنَّجْمُ ٱلثَّاقِبُ

    Unukuzi: Annajmus saaqib

    Ni Nyota yenye mwanga mkali.

  4. 4

    إِن كُلُّ نَفْسٍۢ لَّمَّا عَلَيْهَا حَافِظٌۭ

    Unukuzi: In kullu nafsil lammaa 'alaihaa haafiz

    Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.

  5. 5

    فَلْيَنظُرِ ٱلْإِنسَٰنُ مِمَّ خُلِقَ

    Unukuzi: Fal yanzuril insaanu mimma khuliq

    Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?

  6. 6

    خُلِقَ مِن مَّآءٍۢ دَافِقٍۢ

    Unukuzi: Khuliqa mim maaa'in daafiq

    Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,

  7. 7

    يَخْرُجُ مِنۢ بَيْنِ ٱلصُّلْبِ وَٱلتَّرَآئِبِ

    Unukuzi: Yakhruju mim bainissulbi wat taraaa'ib

    Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.

  8. 8

    إِنَّهُۥ عَلَىٰ رَجْعِهِۦ لَقَادِرٌۭ

    Unukuzi: Innahoo 'alaa raj'ihee laqaadir

    Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.

  9. 9

    يَوْمَ تُبْلَى ٱلسَّرَآئِرُ

    Unukuzi: Yawma tublas saraaa'ir

    Siku zitakapo dhihirishwa siri.

  10. 10

    فَمَا لَهُۥ مِن قُوَّةٍۢ وَلَا نَاصِرٍۢ

    Unukuzi: Famaa lahoo min quwwatinw wa laa naasir

    Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.

  11. 11

    وَٱلسَّمَآءِ ذَاتِ ٱلرَّجْعِ

    Unukuzi: Wassamaaa'i zaatir raj'

    Naapa kwa mbingu yenye marejeo!

  12. 12

    وَٱلْأَرْضِ ذَاتِ ٱلصَّدْعِ

    Unukuzi: Wal ardi zaatis sad'

    Na kwa ardhi inayo pasuka!

  13. 13

    إِنَّهُۥ لَقَوْلٌۭ فَصْلٌۭ

    Unukuzi: Innahoo laqawlun fasl

    Hakika hii ni kauli ya kupambanua.

  14. 14

    وَمَا هُوَ بِٱلْهَزْلِ

    Unukuzi: Wa maa huwa bil hazl

    Wala si mzaha.

  15. 15

    إِنَّهُمْ يَكِيدُونَ كَيْدًۭا

    Unukuzi: Innahum yakeedoona kaidaa

    Hakika wao wanapanga mpango.

  16. 16

    وَأَكِيدُ كَيْدًۭا

    Unukuzi: Wa akeedu kaidaa

    Na Mimi napanga mpango.

  17. 17

    فَمَهِّلِ ٱلْكَٰفِرِينَ أَمْهِلْهُمْ رُوَيْدًۢا

    Unukuzi: Famahhilil kaafireena amhilhum ruwaidaa

    Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole.

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.

The Nightcommer — Islam Word