Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ إِذَا ٱلسَّمَآءُ ٱنشَقَّتْ
Unukuzi: Izas samaaa'un shaqqat
Itapo chanika mbingu,
- 2
وَأَذِنَتْ لِرَبِّهَا وَحُقَّتْ
Unukuzi: Wa azinat li Rabbihaa wa huqqat
Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
- 3
وَإِذَا ٱلْأَرْضُ مُدَّتْ
Unukuzi: Wa izal ardu muddat
Na ardhi itakapo tanuliwa,
- 4
وَأَلْقَتْ مَا فِيهَا وَتَخَلَّتْ
Unukuzi: Wa alqat maa feehaa wa takhallat
Na kuvitoa vilivyo kuwa ndani yake, ikawa tupu,
- 5
وَأَذِنَتْ لِرَبِّهَا وَحُقَّتْ
Unukuzi: Wa azinat li Rabbihaa wa huqqat
Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
- 6
يَٰٓأَيُّهَا ٱلْإِنسَٰنُ إِنَّكَ كَادِحٌ إِلَىٰ رَبِّكَ كَدْحًۭا فَمُلَٰقِيهِ
Unukuzi: Yaaa ayyuhal insaanu innaka kaadihun ilaa Rabbika kad han famulaaqeeh
Ewe mtu! Hakika wewe unajikusuru kwa juhudi kumwendea Mola wako Mlezi, basi utamkuta.
- 7
فَأَمَّا مَنْ أُوتِىَ كِتَٰبَهُۥ بِيَمِينِهِۦ
Unukuzi: Fa ammaa man ootiya kitaabahoo biyameenih
Ama atakaye pewa daftari lake kwa mkono wa kulia,
- 8
فَسَوْفَ يُحَاسَبُ حِسَابًۭا يَسِيرًۭا
Unukuzi: Fasawfa yuhaasabu hi saabai yaseeraa
Basi huyo atahisabiwa hisabu nyepesi,
- 9
وَيَنقَلِبُ إِلَىٰٓ أَهْلِهِۦ مَسْرُورًۭا
Unukuzi: Wa yanqalibu ilaaa ahlihee masrooraa
Na arudi kwa ahali zake na furaha.
- 10
وَأَمَّا مَنْ أُوتِىَ كِتَٰبَهُۥ وَرَآءَ ظَهْرِهِۦ
Unukuzi: Wa ammaa man ootiya kitaabahoo waraaa'a zahrih
Na ama atakaye pewa daftari lake kwa nyuma ya mgongo wake,
- 11
فَسَوْفَ يَدْعُوا۟ ثُبُورًۭا
Unukuzi: Fasawfa yad'oo subooraa
Basi huyo ataomba kuteketea.
- 12
وَيَصْلَىٰ سَعِيرًا
Unukuzi: Wa yaslaa sa'eeraa
Na ataingia Motoni.
- 13
إِنَّهُۥ كَانَ فِىٓ أَهْلِهِۦ مَسْرُورًا
Unukuzi: Innahoo kaana feee ahlihee masrooraa
Hakika alikuwa furahani kati ya jamaa zake.
- 14
إِنَّهُۥ ظَنَّ أَن لَّن يَحُورَ
Unukuzi: Innahoo zanna al lai yahoor
Huyo hakika alidhani kuwa hatarejea tena.
- 15
بَلَىٰٓ إِنَّ رَبَّهُۥ كَانَ بِهِۦ بَصِيرًۭا
Unukuzi: Balaaa inna Rabbahoo kaana bihee baseeraa
Kwani? Hakika Mola wake Mlezi alikuwa akimwona!
- 16
فَلَآ أُقْسِمُ بِٱلشَّفَقِ
Unukuzi: Falaaa uqsimu bishshafaq
Basi ninaapa kwa wekundu wa jua linapo kuchwa,
- 17
وَٱلَّيْلِ وَمَا وَسَقَ
Unukuzi: Wallaili wa maa wasaq
Na kwa usiku na unavyo vikusanya,
- 18
وَٱلْقَمَرِ إِذَا ٱتَّسَقَ
Unukuzi: Walqamari izat tasaq
Na kwa mwezi unapo pevuka,
- 19
لَتَرْكَبُنَّ طَبَقًا عَن طَبَقٍۢ
Unukuzi: Latarkabunna tabaqan 'an tabaq
Lazima mtapanda t'abaka kwa t'abaka!
- 20
فَمَا لَهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
Unukuzi: Famaa lahum laa yu'minoon
Basi wana nini hawaamini?
- 21
وَإِذَا قُرِئَ عَلَيْهِمُ ٱلْقُرْءَانُ لَا يَسْجُدُونَ ۩
Unukuzi: Wa izaa quri'a 'alaihimul Quraanu laa yasjudoon
Na wanapo somewa Qur'ani hawasujudu?
- 22
بَلِ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ يُكَذِّبُونَ
Unukuzi: Balil lazeena kafaroo yukazziboon
Bali walio kufuru wanakanusha tu.
- 23
وَٱللَّهُ أَعْلَمُ بِمَا يُوعُونَ
Unukuzi: Wallaahu a'lamu bimaa yoo'oon
Na Mwenyezi Mungu anajua wanayo yadhamiria.
- 24
فَبَشِّرْهُم بِعَذَابٍ أَلِيمٍ
Unukuzi: Fabashshirhum bi'azaabin aleem
Basi wabashirie adhabu chungu!
- 25
إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّٰلِحَٰتِ لَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍۭ
Unukuzi: Illal lazeena aamanoo wa 'amilus saalihaati lahum ajrun ghairu mamnoon
Isipo kuwa wale walio amini na wakatenda mema; hao watakuwa na ujira usio malizika.
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.