Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلْفَلَقِ
Unukuzi: Qul a'uzoo bi rabbil-falaq
Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,
- 2
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
Unukuzi: Min sharri ma khalaq
Na shari ya alivyo viumba,
- 3
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
Unukuzi: Wa min sharri ghasiqin iza waqab
Na shari ya giza la usiku liingiapo,
- 4
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِى ٱلْعُقَدِ
Unukuzi: Wa min sharrin-naffaa-thaati fil 'uqad
Na shari ya wanao pulizia mafundoni,
- 5
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
Unukuzi: Wa min shar ri haasidin iza hasad
Na shari ya hasidi anapo husudu.
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.