Sura zote

Surah 113

The Daybreak

سُورَةُ الفَلَقِ

Al-Falaq · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلْفَلَقِ

    Unukuzi: Qul a'uzoo bi rabbil-falaq

    Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,

  2. 2

    مِن شَرِّ مَا خَلَقَ

    Unukuzi: Min sharri ma khalaq

    Na shari ya alivyo viumba,

  3. 3

    وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ

    Unukuzi: Wa min sharri ghasiqin iza waqab

    Na shari ya giza la usiku liingiapo,

  4. 4

    وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِى ٱلْعُقَدِ

    Unukuzi: Wa min sharrin-naffaa-thaati fil 'uqad

    Na shari ya wanao pulizia mafundoni,

  5. 5

    وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ

    Unukuzi: Wa min shar ri haasidin iza hasad

    Na shari ya hasidi anapo husudu.

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.