Sura zote

Surah 112

The Sincerity

سُورَةُ الإِخۡلَاصِ

Al-Ikhlaas · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ قُلْ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ

    Unukuzi: Qul huwal laahu ahad

    Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.

  2. 2

    ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ

    Unukuzi: Allah hus-samad

    Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.

  3. 3

    لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ

    Unukuzi: Lam yalid wa lam yoolad

    Hakuzaa wala hakuzaliwa.

  4. 4

    وَلَمْ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدٌۢ

    Unukuzi: Wa lam yakul-lahu kufuwan ahad

    Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.