Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
SautiJ/K anacheza ukariri
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ قُلْ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ
Unukuzi: Qul huwal laahu ahad
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
- 2
ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ
Unukuzi: Allah hus-samad
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
- 3
لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ
Unukuzi: Lam yalid wa lam yoolad
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
- 4
وَلَمْ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدٌۢ
Unukuzi: Wa lam yakul-lahu kufuwan ahad
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.