Sura zote

Surah 114

Mankind

سُورَةُ النَّاسِ

An-Naas · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ

    Unukuzi: Qul a'uzu birabbin naas

    Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,

  2. 2

    مَلِكِ ٱلنَّاسِ

    Unukuzi: Malikin naas

    Mfalme wa wanaadamu,

  3. 3

    إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ

    Unukuzi: Ilaahin naas

    Mungu wa wanaadamu,

  4. 4

    مِن شَرِّ ٱلْوَسْوَاسِ ٱلْخَنَّاسِ

    Unukuzi: Min sharril was waasil khannaas

    Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,

  5. 5

    ٱلَّذِى يُوَسْوِسُ فِى صُدُورِ ٱلنَّاسِ

    Unukuzi: Al lazee yuwas wisu fee sudoorin naas

    Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,

  6. 6

    مِنَ ٱلْجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ

    Unukuzi: Minal jinnati wan naas

    Kutokana na majini na wanaadamu.

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.

Mankind — Islam Word