Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Unukuzi: Qul a'uzu birabbin naas
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
- 2
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
Unukuzi: Malikin naas
Mfalme wa wanaadamu,
- 3
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
Unukuzi: Ilaahin naas
Mungu wa wanaadamu,
- 4
مِن شَرِّ ٱلْوَسْوَاسِ ٱلْخَنَّاسِ
Unukuzi: Min sharril was waasil khannaas
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
- 5
ٱلَّذِى يُوَسْوِسُ فِى صُدُورِ ٱلنَّاسِ
Unukuzi: Al lazee yuwas wisu fee sudoorin naas
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
- 6
مِنَ ٱلْجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
Unukuzi: Minal jinnati wan naas
Kutokana na majini na wanaadamu.
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.