Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ تَبَّتْ يَدَآ أَبِى لَهَبٍۢ وَتَبَّ
Unukuzi: Tab bat yadaa abee Lahabinw-wa tabb
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
- 2
مَآ أَغْنَىٰ عَنْهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ
Unukuzi: Maa aghna 'anhu maaluhu wa ma kasab
Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
- 3
سَيَصْلَىٰ نَارًۭا ذَاتَ لَهَبٍۢ
Unukuzi: Sa yas laa naran zaata lahab
Atauingia Moto wenye mwako.
- 4
وَٱمْرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلْحَطَبِ
Unukuzi: Wam ra-atuh hamma latal-hatab
Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
- 5
فِى جِيدِهَا حَبْلٌۭ مِّن مَّسَدٍۭ
Unukuzi: Fee jeediha hab lum mim-masad
Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.