Sura zote

Surah 111

The Palm Fiber

سُورَةُ المَسَدِ

Al-Masad · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ تَبَّتْ يَدَآ أَبِى لَهَبٍۢ وَتَبَّ

    Unukuzi: Tab bat yadaa abee Lahabinw-wa tabb

    Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.

  2. 2

    مَآ أَغْنَىٰ عَنْهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ

    Unukuzi: Maa aghna 'anhu maaluhu wa ma kasab

    Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.

  3. 3

    سَيَصْلَىٰ نَارًۭا ذَاتَ لَهَبٍۢ

    Unukuzi: Sa yas laa naran zaata lahab

    Atauingia Moto wenye mwako.

  4. 4

    وَٱمْرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلْحَطَبِ

    Unukuzi: Wam ra-atuh hamma latal-hatab

    Na mkewe, mchukuzi wa kuni,

  5. 5

    فِى جِيدِهَا حَبْلٌۭ مِّن مَّسَدٍۭ

    Unukuzi: Fee jeediha hab lum mim-masad

    Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.