Sura zote

Surah 110

The Divine Support

سُورَةُ النَّصۡرِ

An-Nasr · Madina

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ إِذَا جَآءَ نَصْرُ ٱللَّهِ وَٱلْفَتْحُ

    Unukuzi: Iza jaa-a nas rullahi walfath

    Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,

  2. 2

    وَرَأَيْتَ ٱلنَّاسَ يَدْخُلُونَ فِى دِينِ ٱللَّهِ أَفْوَاجًۭا

    Unukuzi: Wa ra-aitan naasa yadkhuloona fee deenil laahi afwajah

    Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,

  3. 3

    فَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ وَٱسْتَغْفِرْهُ ۚ إِنَّهُۥ كَانَ تَوَّابًۢا

    Unukuzi: Fa sab bih bihamdi rabbika was taghfir, innahu kaana tawwaaba

    Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.