Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ قُلْ يَٰٓأَيُّهَا ٱلْكَٰفِرُونَ
Unukuzi: Qul yaa-ai yuhal kaafiroon
Sema: Enyi makafiri!
- 2
لَآ أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ
Unukuzi: Laa a'budu ma t'abudoon
Siabudu mnacho kiabudu;
- 3
وَلَآ أَنتُمْ عَٰبِدُونَ مَآ أَعْبُدُ
Unukuzi: Wa laa antum 'aabidoona maa a'bud
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
- 4
وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٌۭ مَّا عَبَدتُّمْ
Unukuzi: Wa laa ana 'abidum maa 'abattum
Wala sitaabudu mnacho abudu.
- 5
وَلَآ أَنتُمْ عَٰبِدُونَ مَآ أَعْبُدُ
Unukuzi: Wa laa antum 'aabidoona ma a'bud
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
- 6
لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِىَ دِينِ
Unukuzi: Lakum deenukum wa liya deen.
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.