Sura zote

Surah 108

The Abundance

سُورَةُ الكَوۡثَرِ

Al-Kawthar · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ إِنَّآ أَعْطَيْنَٰكَ ٱلْكَوْثَرَ

    Unukuzi: Innaa a'taina kal kauthar

    Hakika tumekupa kheri nyingi.

  2. 2

    فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنْحَرْ

    Unukuzi: Fa salli li rabbika wanhar

    Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.

  3. 3

    إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلْأَبْتَرُ

    Unukuzi: Inna shani-aka huwal abtar

    Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu.

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.