Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ أَرَءَيْتَ ٱلَّذِى يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ
Unukuzi: Ara-aital lazee yu kazzibu bid deen
Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo?
- 2
فَذَٰلِكَ ٱلَّذِى يَدُعُّ ٱلْيَتِيمَ
Unukuzi: Fa zaalikal lazi yadu'ul-yateem
Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
- 3
وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلْمِسْكِينِ
Unukuzi: Wa la ya huddu 'alaa ta'amil miskeen
Wala hahimizi kumlisha masikini.
- 4
فَوَيْلٌۭ لِّلْمُصَلِّينَ
Unukuzi: Fa wai lul-lil mu salleen
Basi, ole wao wanao sali,
- 5
ٱلَّذِينَ هُمْ عَن صَلَاتِهِمْ سَاهُونَ
Unukuzi: Al lazeena hum 'an salaatihim sahoon
Ambao wanapuuza Sala zao;
- 6
ٱلَّذِينَ هُمْ يُرَآءُونَ
Unukuzi: Al lazeena hum yuraa-oon
Ambao wanajionyesha,
- 7
وَيَمْنَعُونَ ٱلْمَاعُونَ
Unukuzi: Wa yamna'oonal ma'oon
Nao huku wanazuia msaada.
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.