Sura zote

Surah 107

The Small kindnesses

سُورَةُ المَاعُونِ

Al-Maa'un · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ أَرَءَيْتَ ٱلَّذِى يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ

    Unukuzi: Ara-aital lazee yu kazzibu bid deen

    Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo?

  2. 2

    فَذَٰلِكَ ٱلَّذِى يَدُعُّ ٱلْيَتِيمَ

    Unukuzi: Fa zaalikal lazi yadu'ul-yateem

    Huyo ndiye anaye msukuma yatima,

  3. 3

    وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلْمِسْكِينِ

    Unukuzi: Wa la ya huddu 'alaa ta'amil miskeen

    Wala hahimizi kumlisha masikini.

  4. 4

    فَوَيْلٌۭ لِّلْمُصَلِّينَ

    Unukuzi: Fa wai lul-lil mu salleen

    Basi, ole wao wanao sali,

  5. 5

    ٱلَّذِينَ هُمْ عَن صَلَاتِهِمْ سَاهُونَ

    Unukuzi: Al lazeena hum 'an salaatihim sahoon

    Ambao wanapuuza Sala zao;

  6. 6

    ٱلَّذِينَ هُمْ يُرَآءُونَ

    Unukuzi: Al lazeena hum yuraa-oon

    Ambao wanajionyesha,

  7. 7

    وَيَمْنَعُونَ ٱلْمَاعُونَ

    Unukuzi: Wa yamna'oonal ma'oon

    Nao huku wanazuia msaada.

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.

The Small kindnesses — Islam Word