Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ لِإِيلَٰفِ قُرَيْشٍ
Unukuzi: Li-ilaafi quraish
Kwa walivyo zoea Maqureshi,
- 2
إِۦلَٰفِهِمْ رِحْلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيْفِ
Unukuzi: Elaafihim rihlatash shitaa-i wass saif
Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
- 3
فَلْيَعْبُدُوا۟ رَبَّ هَٰذَا ٱلْبَيْتِ
Unukuzi: Fal y'abudu rabba haazal-bait
Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
- 4
ٱلَّذِىٓ أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍۢ وَءَامَنَهُم مِّنْ خَوْفٍۭ
Unukuzi: Allazi at'amahum min ju'inw-wa-aamana hum min khawf
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.