Sura zote

Surah 106

Quraysh

سُورَةُ قُرَيۡشٍ

Quraish · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ لِإِيلَٰفِ قُرَيْشٍ

    Unukuzi: Li-ilaafi quraish

    Kwa walivyo zoea Maqureshi,

  2. 2

    إِۦلَٰفِهِمْ رِحْلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيْفِ

    Unukuzi: Elaafihim rihlatash shitaa-i wass saif

    Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.

  3. 3

    فَلْيَعْبُدُوا۟ رَبَّ هَٰذَا ٱلْبَيْتِ

    Unukuzi: Fal y'abudu rabba haazal-bait

    Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,

  4. 4

    ٱلَّذِىٓ أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍۢ وَءَامَنَهُم مِّنْ خَوْفٍۭ

    Unukuzi: Allazi at'amahum min ju'inw-wa-aamana hum min khawf

    Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.

Quraysh — Islam Word