Sura zote

Surah 105

The Elephant

سُورَةُ الفِيلِ

Al-Fil · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَٰبِ ٱلْفِيلِ

    Unukuzi: Alam tara kaifa fa'ala rabbuka bi ashaabil feel

    Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?

  2. 2

    أَلَمْ يَجْعَلْ كَيْدَهُمْ فِى تَضْلِيلٍۢ

    Unukuzi: Alam yaj'al kai dahum fee tad leel

    Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?

  3. 3

    وَأَرْسَلَ عَلَيْهِمْ طَيْرًا أَبَابِيلَ

    Unukuzi: Wa arsala 'alaihim tairan abaabeel

    Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,

  4. 4

    تَرْمِيهِم بِحِجَارَةٍۢ مِّن سِجِّيلٍۢ

    Unukuzi: Tar meehim bi hi jaaratim min sij jeel

    Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,

  5. 5

    فَجَعَلَهُمْ كَعَصْفٍۢ مَّأْكُولٍۭ

    Unukuzi: Faja 'alahum ka'asfim m'akool

    Akawafanya kama majani yaliyo liwa!

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.

The Elephant — Islam Word