Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَٰبِ ٱلْفِيلِ
Unukuzi: Alam tara kaifa fa'ala rabbuka bi ashaabil feel
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
- 2
أَلَمْ يَجْعَلْ كَيْدَهُمْ فِى تَضْلِيلٍۢ
Unukuzi: Alam yaj'al kai dahum fee tad leel
Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
- 3
وَأَرْسَلَ عَلَيْهِمْ طَيْرًا أَبَابِيلَ
Unukuzi: Wa arsala 'alaihim tairan abaabeel
Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,
- 4
تَرْمِيهِم بِحِجَارَةٍۢ مِّن سِجِّيلٍۢ
Unukuzi: Tar meehim bi hi jaaratim min sij jeel
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,
- 5
فَجَعَلَهُمْ كَعَصْفٍۢ مَّأْكُولٍۭ
Unukuzi: Faja 'alahum ka'asfim m'akool
Akawafanya kama majani yaliyo liwa!
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.