Sura zote

Surah 104

The Traducer

سُورَةُ الهُمَزَةِ

Al-Humaza · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ وَيْلٌۭ لِّكُلِّ هُمَزَةٍۢ لُّمَزَةٍ

    Unukuzi: Wai lul-li kulli hu mazatil-lumaza

    Ole wake kila safihi, msengenyaji!

  2. 2

    ٱلَّذِى جَمَعَ مَالًۭا وَعَدَّدَهُۥ

    Unukuzi: Al-lazi jama'a maalaw wa'addadah

    Aliye kusanya mali na kuyahisabu.

  3. 3

    يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخْلَدَهُۥ

    Unukuzi: Yahsabu anna maalahu akhladah

    Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!

  4. 4

    كَلَّا ۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِى ٱلْحُطَمَةِ

    Unukuzi: Kalla layum ba zanna fil hutamah

    Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.

  5. 5

    وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْحُطَمَةُ

    Unukuzi: Wa maa adraaka mal-hutamah

    Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?

  6. 6

    نَارُ ٱللَّهِ ٱلْمُوقَدَةُ

    Unukuzi: Narul laahil-mooqada

    Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.

  7. 7

    ٱلَّتِى تَطَّلِعُ عَلَى ٱلْأَفْـِٔدَةِ

    Unukuzi: Al latee tat tali'u 'alalafidah

    Ambao unapanda nyoyoni.

  8. 8

    إِنَّهَا عَلَيْهِم مُّؤْصَدَةٌۭ

    Unukuzi: Innaha 'alaihim moosada

    Hakika huo utafungiwa nao

  9. 9

    فِى عَمَدٍۢ مُّمَدَّدَةٍۭ

    Unukuzi: Fee 'amadim-mu mad dadah

    Kwenye nguzo zilio nyooshwa.

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.

The Traducer — Islam Word