Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ وَيْلٌۭ لِّكُلِّ هُمَزَةٍۢ لُّمَزَةٍ
Unukuzi: Wai lul-li kulli hu mazatil-lumaza
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
- 2
ٱلَّذِى جَمَعَ مَالًۭا وَعَدَّدَهُۥ
Unukuzi: Al-lazi jama'a maalaw wa'addadah
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
- 3
يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخْلَدَهُۥ
Unukuzi: Yahsabu anna maalahu akhladah
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
- 4
كَلَّا ۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِى ٱلْحُطَمَةِ
Unukuzi: Kalla layum ba zanna fil hutamah
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
- 5
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْحُطَمَةُ
Unukuzi: Wa maa adraaka mal-hutamah
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
- 6
نَارُ ٱللَّهِ ٱلْمُوقَدَةُ
Unukuzi: Narul laahil-mooqada
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
- 7
ٱلَّتِى تَطَّلِعُ عَلَى ٱلْأَفْـِٔدَةِ
Unukuzi: Al latee tat tali'u 'alalafidah
Ambao unapanda nyoyoni.
- 8
إِنَّهَا عَلَيْهِم مُّؤْصَدَةٌۭ
Unukuzi: Innaha 'alaihim moosada
Hakika huo utafungiwa nao
- 9
فِى عَمَدٍۢ مُّمَدَّدَةٍۭ
Unukuzi: Fee 'amadim-mu mad dadah
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.