Sura zote

Surah 100

The Courser

سُورَةُ العَادِيَاتِ

Al-Aadiyaat · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ وَٱلْعَٰدِيَٰتِ ضَبْحًۭا

    Unukuzi: Wal'aadi yaati dabha

    Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua,

  2. 2

    فَٱلْمُورِيَٰتِ قَدْحًۭا

    Unukuzi: Fal moori yaati qadha

    Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,

  3. 3

    فَٱلْمُغِيرَٰتِ صُبْحًۭا

    Unukuzi: Fal mugheeraati subha

    Wakishambulia wakati wa asubuhi,

  4. 4

    فَأَثَرْنَ بِهِۦ نَقْعًۭا

    Unukuzi: Fa atharna bihee naq'a

    Huku wakitimua vumbi,

  5. 5

    فَوَسَطْنَ بِهِۦ جَمْعًا

    Unukuzi: Fawa satna bihee jam'a

    Na wakijitoma kati ya kundi,

  6. 6

    إِنَّ ٱلْإِنسَٰنَ لِرَبِّهِۦ لَكَنُودٌۭ

    Unukuzi: Innal-insana lirabbihee lakanood

    Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!

  7. 7

    وَإِنَّهُۥ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌۭ

    Unukuzi: Wa innahu 'alaa zaalika la shaheed

    Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!

  8. 8

    وَإِنَّهُۥ لِحُبِّ ٱلْخَيْرِ لَشَدِيدٌ

    Unukuzi: Wa innahu lihubbil khairi la shadeed

    Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!

  9. 9

    ۞ أَفَلَا يَعْلَمُ إِذَا بُعْثِرَ مَا فِى ٱلْقُبُورِ

    Unukuzi: Afala ya'lamu iza b'uthira ma filquboor

    Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?

  10. 10

    وَحُصِّلَ مَا فِى ٱلصُّدُورِ

    Unukuzi: Wa hussila maa fis sudoor

    Na yakakusanywa yaliomo vifuani?

  11. 11

    إِنَّ رَبَّهُم بِهِمْ يَوْمَئِذٍۢ لَّخَبِيرٌۢ

    Unukuzi: Inna rabbahum bihim yauma 'izil la khabeer

    Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.

The Courser — Islam Word