Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ إِذَا زُلْزِلَتِ ٱلْأَرْضُ زِلْزَالَهَا
Unukuzi: Izaa zul zilatil ardu zil zaalaha
Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
- 2
وَأَخْرَجَتِ ٱلْأَرْضُ أَثْقَالَهَا
Unukuzi: Wa akh rajatil ardu athqaalaha
Na itakapo toa ardhi mizigo yake!
- 3
وَقَالَ ٱلْإِنسَٰنُ مَا لَهَا
Unukuzi: Wa qaalal insaanu ma laha
Na mtu akasema: Ina nini?
- 4
يَوْمَئِذٍۢ تُحَدِّثُ أَخْبَارَهَا
Unukuzi: Yawmaa izin tuhad dithu akhbaaraha
Siku hiyo itahadithia khabari zake.
- 5
بِأَنَّ رَبَّكَ أَوْحَىٰ لَهَا
Unukuzi: Bi-anna rabbaka awhaa laha
Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
- 6
يَوْمَئِذٍۢ يَصْدُرُ ٱلنَّاسُ أَشْتَاتًۭا لِّيُرَوْا۟ أَعْمَٰلَهُمْ
Unukuzi: Yawma iziy yas durun naasu ash tatal liyuraw a'maalahum
Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
- 7
فَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ خَيْرًۭا يَرَهُۥ
Unukuzi: Famaiy ya'mal mithqala zarratin khai raiy-yarah
Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!
- 8
وَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍۢ شَرًّۭا يَرَهُۥ
Unukuzi: Wa maiy-y'amal mithqala zarratin sharraiy-yarah
Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.