Sura zote

Surah 99

The Earthquake

سُورَةُ الزَّلۡزَلَةِ

Az-Zalzala · Madina

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ إِذَا زُلْزِلَتِ ٱلْأَرْضُ زِلْزَالَهَا

    Unukuzi: Izaa zul zilatil ardu zil zaalaha

    Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!

  2. 2

    وَأَخْرَجَتِ ٱلْأَرْضُ أَثْقَالَهَا

    Unukuzi: Wa akh rajatil ardu athqaalaha

    Na itakapo toa ardhi mizigo yake!

  3. 3

    وَقَالَ ٱلْإِنسَٰنُ مَا لَهَا

    Unukuzi: Wa qaalal insaanu ma laha

    Na mtu akasema: Ina nini?

  4. 4

    يَوْمَئِذٍۢ تُحَدِّثُ أَخْبَارَهَا

    Unukuzi: Yawmaa izin tuhad dithu akhbaaraha

    Siku hiyo itahadithia khabari zake.

  5. 5

    بِأَنَّ رَبَّكَ أَوْحَىٰ لَهَا

    Unukuzi: Bi-anna rabbaka awhaa laha

    Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!

  6. 6

    يَوْمَئِذٍۢ يَصْدُرُ ٱلنَّاسُ أَشْتَاتًۭا لِّيُرَوْا۟ أَعْمَٰلَهُمْ

    Unukuzi: Yawma iziy yas durun naasu ash tatal liyuraw a'maalahum

    Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!

  7. 7

    فَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ خَيْرًۭا يَرَهُۥ

    Unukuzi: Famaiy ya'mal mithqala zarratin khai raiy-yarah

    Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!

  8. 8

    وَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍۢ شَرًّۭا يَرَهُۥ

    Unukuzi: Wa maiy-y'amal mithqala zarratin sharraiy-yarah

    Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.