Sura zote

Surah 101

The Calamity

سُورَةُ القَارِعَةِ

Al-Qaari'a · Makka

Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia

Sauti
  1. 1

    بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ ٱلْقَارِعَةُ

    Unukuzi: Al qaari'ah

    Inayo gonga!

  2. 2

    مَا ٱلْقَارِعَةُ

    Unukuzi: Mal qaariah

    Nini Inayo gonga?

  3. 3

    وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْقَارِعَةُ

    Unukuzi: Wa maa adraaka mal qaari'ah

    Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?

  4. 4

    يَوْمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلْفَرَاشِ ٱلْمَبْثُوثِ

    Unukuzi: Yauma ya koonun naasu kal farashil mabthooth

    Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;

  5. 5

    وَتَكُونُ ٱلْجِبَالُ كَٱلْعِهْنِ ٱلْمَنفُوشِ

    Unukuzi: Wa ta koonul jibalu kal 'ihnil manfoosh

    Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!

  6. 6

    فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَٰزِينُهُۥ

    Unukuzi: Fa-amma man thaqulat mawa zeenuh

    Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,

  7. 7

    فَهُوَ فِى عِيشَةٍۢ رَّاضِيَةٍۢ

    Unukuzi: Fahuwa fee 'ishatir raadiyah

    Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.

  8. 8

    وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَٰزِينُهُۥ

    Unukuzi: Wa amma man khaffat mawa zeenuh

    Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,

  9. 9

    فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٌۭ

    Unukuzi: Fa-ummuhu haawiyah

    Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!

  10. 10

    وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا هِيَهْ

    Unukuzi: Wa maa adraaka maa hiyah

    Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?

  11. 11

    نَارٌ حَامِيَةٌۢ

    Unukuzi: Naarun hamiyah

    Ni Moto mkali!

Toleo la tafsiri: sw.barwani

Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).

Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.

Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.

The Calamity — Islam Word