Katika surah hii, aya ya kwanza inajumuisha Basmalah; nambari za mistari ya kimataifa na uwekaji faharasa wa kawaida wa mushaf unaolingana.
Funguo: J ayah inayofuata · K ayah iliyotangulia
- 1
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Unukuzi: Bismillaahir Rahmaanir Raheem
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
- 2
ٱلْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ ٱلْعَٰلَمِينَ
Unukuzi: Alhamdu lillaahi Rabbil 'aalameen
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;
- 3
ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Unukuzi: Ar-Rahmaanir-Raheem
Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;
- 4
مَٰلِكِ يَوْمِ ٱلدِّينِ
Unukuzi: Maaliki Yawmid-Deen
Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.
- 5
إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ
Unukuzi: Iyyaaka na'budu wa lyyaaka nasta'een
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
- 6
ٱهْدِنَا ٱلصِّرَٰطَ ٱلْمُسْتَقِيمَ
Unukuzi: Ihdinas-Siraatal-Mustaqeem
Tuongoe njia iliyo nyooka,
- 7
صِرَٰطَ ٱلَّذِينَ أَنْعَمْتَ عَلَيْهِمْ غَيْرِ ٱلْمَغْضُوبِ عَلَيْهِمْ وَلَا ٱلضَّآلِّينَ
Unukuzi: Siraatal-lazeena an'amta 'alaihim ghayril-maghdoobi 'alaihim wa lad-daaalleen
Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.
Toleo la tafsiri: sw.barwani
Sauti ya aya: Mishary Rashid Alafasy (128kbps kupitia islamic.network CDN).
Maandishi na tafsiri: api.alquran.cloud · Uthmani Kiarabu.
Ikiwa maana ya aya haieleweki, muulize mwalimu aliyehitimu - hasa kwa masuala ya kisheria na imani.